Reader Settings

“Mhhhh, tangu lini umeanza kukubali kukosolewa?’’

“Ni wapi ulikuwa siku zote hizi?’’

“Nilikuwa katikati ya jiji ila leo nina swali. Nimeua watu wengi hili eneo, hauoni kama inatosha kuendelea kufanya haya?’’

“Hivi unakisikia hata ambacho unakisema wewe?’’

“Hakuna faida yoyote ambayo tunaipata kutokana na haya mauaji’’

“Wazazi wako wako wapi leo hii? Hawapo kwa sababu ya msitu huu, waliuawa kikatili ndani ya huu msitu na …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next