“Huyu mtu ana mahusiano yapi na hii familia?’’
“Hana uhusiano nao wowote ila ndiye aliombwa na Sadiki kuweza kuifanya hii kazi’’
“Akakubali tu kirahisi hivi?’’
“Kuua watu zaidi ya miatano sio jambo dogo, kuna namna moyo wa mwanadamu umeumbwa na hatia, unapokuwa unajihisi hatia nzito ndani yako kisha likaja kutokea jambo la kulifanya ambalo linaweza kukufanya ujisikie vizuri basi unalifanya bila kuwaza mara mbili’’
“Kwahiyo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments