Reader Settings

Rashid Mzinde alimuona bwana yule wakati anamjia kwa mateke ambayo yalikuwa yamekomaa, alikubali yampate ila alikuwa ana hesabu zake tayari kwani alimuona Kagimu akiirukia ile bastola. Wakati yale mateke yanamfika alikaza kifua, yalimpata vyema na kumpatia maumivu makali kwa sababu yalitoka kwa mwanaume ambaye hakuwa haba, alikuwa ni mtu aliyekuwa amekomaa kwa mazoezi makali. Alimkunja yule bwana na kumgeuzia kule alipokuwepo jenerali Kagimu ambaye alikuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next