Reader Settings

Hakuwa na aibu kuvunja miiko ya kazi yake, hakuogopa wala kuwazia maisha ya watanzania ambayo yangeingia mashakani baada ya yeye kwenda na ule uamuzi badala yake aliona kama ndilo jambo sahihi kulifanya. Hakutaka kuacha ushahidi hata kidogo akatengeneza na mpango wa kuuawa kwa mdogo wa Aman Kilonzo ambaye ndiye alianza kuuawa. Sasa ngeweza vipi kuishi ili asije akatambulika kwamba yeye ni sehemu ya huo ubaradhuli? …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next