“Una mke na watoto wakubwa na moja ya mtoto wako kwa upuuzi wake umempeleka nje huko watu wasijue kama anaponda starehe, leo wewe unataka kunikumbusha mimi kuhusu familia yako? Ungekuwa unaipenda familia yako usingekubali kuishi mwenyewe hapa ambapo unapata nafasi ya kuingiza malaya muda uutakao wakati mkeo anaishi pekeyake kwenye lile jengo kubwa’’
“Huko ni kuanza kunikosea heshima sasa Zuberi’’
“Wale wawili hawapo na hakuna …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments