Reader Settings

Hali ile ilileta mashaka makubwa ikafikia hatua watu hao wakawa wanahitaji kiongozi aweze kushuka baada ya kutambua kulikuwa na mdunguaji mahali ambaye ndiye alisababisha ile ajali ya ghafla na ya ajabu. Walinzi wote walishuka na kumzunguka mheshimiwa yeye mwenyewe akiwa anatetemeka kwa sababu uhai wake ulikuwa unawindwa kwa lazima. Wanaume wale ambao walimzunguka wakiwa na silaha alianza kudondoka mmoja mmoja, usiku ule uliwafanya kuzubaa wasielewe …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next