Reader Settings

“Kipi kimetokea?’’

“Mwanasheria mkuu amekutwa akiwa amekufa kikatili na kutelekezwa mahali ambapo kwa mtu wa aina yake hakutakiwa kufia pale, alitakiwa kufia kwenye kitanda cha gharama akiwa na wasaidizi wake lakini nani anajua kila mtu sehemu ambayo ameandikiwa kuweza kupita? Dunia inatuhukumu kwa namna tofauti ndugu yangu’’ kwa kiongozi mkubwa wa kijeshi kama yeye kuongea maneno kama yale huku siku kadhaa nyuma akiwa ametoka kumpa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next