Reader Settings

“Kuna siku mbili tu za mhimu kwenye maisha yako, siku ambayo ulizaliwa na siku ambayo utakuja kujua ni kwanini ulizaliwa” Haya watu huwa wanayakumbuka wakiwa kwenye mazingira ambayo hawawezi kujinasua na nyakati zikiwa sio rafiki kwao’’

“Unamaanisha nini?’’

“Umewasiliana na mdogo wako?’’

“Kuna nini kimemtokea?’’

“Nadhani ulitakiwa kuwasha runinga mapema kabla ya kuwa na kiu ya kukutana na mimi Leonardo’’ mwanaume yule hakuwa na muda …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next