Reader Settings


Area C (CALIKATA MADELI)
Hili ndilo lilikuwa jina halisi ya eneo ambalo lilifahamika kama area C, ni eneo dogo ndani ya BENGHAZI walikuwa wamejikatia watu wenye vyao huko hakuruhusiwa kuishi binadamu ambaye kuingiza mkono wake mfukoni alikuwa akijiuliza mara mbili mbili waliishi watu wenye uwezo mkubwa sana kifedha ndilo eneo ambalo alielekezwa dokta ambaye hakuwa akijulikana jina lake mpaka wakati huu kwamba akamtibu mgonjwa mitaa hiyo …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next