Mara baada ya kuona mzee huyo anamvimbishia Prisila kifua, Hamza aliingilia na kuuliza:
“Hili eneo limetolewa na Wizara kwa ajili ya makazi ya watoto. Kwanini mnalazimisha kubomoa usiku wote huu? Vibali vyenu vipo wapi?”
Kiongozi huyo aliishia kumwangalia Hamza kwa kumpandisha na kumshusha, kisha akasema:
“Wewe ni nani? Hili eneo sio la Wizara, ni eneo la ujenzi uliopaswa kuanza muda wowote. Sio mahali pa kulala …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments