Tumaini aliketi nje ya nyumba ya Bi. Tabitha akiota Jua asubuhi, aliangaza macho akaona nyumba nyingi za msonge. Palikuwa na nyumba moja ya mabati mekundu iliyojengwa kwa mawe. Kilichomshangaza zaidi ni kuwa, kisiwa kile kilikuwa mali ya jamii nzima, hapakuwa na mipaka ya kuonyesha umilisi wa mashamba ya watu binafsi.
"Naitwa Tabby," mjukuu wa Bi. Tabitha alimfikia na kumsalimu akijitambulisha.
"Nami naitwa Tumaini," Tumaini …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments