Tumaini alipoketi alionekana mwenye mawazo mengi, mwenyeji wake alimsogea pole pole akitumia mkongojo wake, akasimama kando yake nukta kadha hajanza kuzungumza naye, Tumaini hakuwa ametambua uwepo wake.
"Umeamka salama kweli?!" Bi. Tabitha alimuuliza kwa toni ya wasiwasi.
"Ah! Mama, shikamoo," Tumaini alimuamkua akionyesha mshituko.
"Sasa ni saa nne, lakini hujaanza vipindi vyako," mwenyeji wake alimkumbusha jukumu lake.
"Labda leo wapate mapumziko, aah...jana alikuwa!"
"Nani?"
"Bw. …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments