"Mama mama mamaaaaaaaaaaaaaa" mama anakimbia kwenda mahali ambapo anaisikia sauti ya mwanae ikimuita kwa kilio kikubwa. Safari yake inaishia ndani ya nyumba yake ambayo anaishi na familia yake na mahali hapo anaishi yeye, mumewe na mtoto wake mmoja huyo wa kiume. Kitu ambacho anakiona mbele yake kinamtoa machozi kisha anaenda kwa ghadhabu na kumsukuma mwanaume mmoja ambaye amelewa sana hatamaniki hata kutazamika
"Kwanini …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments