Reader Settings

Rehema alivyokuwa ameagizwa na Bw. Makali alifika kwa wakati akawakuta wameketi chini ya mti wakizungumza. Alipofika akawaona, Mara moja aliwatambua.

"Shikamo," aliwaamkua baada ya kuwafikia.

"Marahaba mwanangu. U hali gani?" Bi. Zena alimuamkua.

"'MI nipo salama."

Bi. Linda alikuwa akimwangalia kwa makini.

"Wewe ndiye ulinipigia simu kunijuza kuhusu kukamatwa kwa Mziwanda!"

"Ndimi," Rehema alikubali akitabasamu.

"Basi tuondoke, …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 5 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next