Rehema alivyokuwa ameagizwa na Bw. Makali alifika kwa wakati akawakuta wameketi chini ya mti wakizungumza. Alipofika akawaona, Mara moja aliwatambua.
"Shikamo," aliwaamkua baada ya kuwafikia.
"Marahaba mwanangu. U hali gani?" Bi. Zena alimuamkua.
"'MI nipo salama."
Bi. Linda alikuwa akimwangalia kwa makini.
"Wewe ndiye ulinipigia simu kunijuza kuhusu kukamatwa kwa Mziwanda!"
"Ndimi," Rehema alikubali akitabasamu.
"Basi tuondoke, …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments