Asubuhi na mapema Rehema alifika kazini, lakini mtazamo aliopewa na askari mlangoni hukumpa furaha. Kwa haraka alimpa mkono kumsalimu kisha akafululiza mpaka ndani.
"Habari za asubuhi," alimuamkua mwanadada aliyekuwa kwa mapokezi.
"Njema, labda za kwako," alijibiwa na yule msichana ila si kwa furaha ilivyokuwa kawaida yake.
"Haupo salama kabisa," Rehema alimpinga, "hebu nieleze, hii si kawaida yako."
Kwa yale maneno, mwenzake …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments