Reader Settings

Tumaini aliketi kando ya msingi uliokuwa umeanza kujengwa akiongea na Tabby. Kwa ghafla mwenzake alinyamaza akamuonesha kwa kidole waliokuwa wakija mbele yao. Kwa haraka aliamka akaenda mpaka palipokuwa pamejengwa kuwasubiri. Wajenzi walipofika, mmoja wao alitoa ramani mkobani akaanza kuwaonesha wenzake waliomsikiliza kwa majini.
"Hamjambo," aliwaamkua kwa pamoja.
"Salama, labda zako," aliyekuwa na ramani alimjibu.
"Samahani kwa usumbufu. Naitwa Tumaini."
"Tumefurahi kukufahamu."
Tumaini alisimama kwa muda baada …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next