Zakaria baada ya kuona mwanaume huyo ameweza kufa alizamisha mkono wake kwenye mfuko wa mwanaume huyo alitoa kitambulisho kimoja kidogo cheupe chenye namba tatu tu za kirumi na nyuma ya hicho kitambulisho hakikuandikwa kitu chochote kile, hakikuwa kitambulisho ambacho kingemilikiwa na mtu yeyote yule wa kawaida ilikuwa ni alama ya kikomando ambayo alikuwa inasoma utambulisho wa mwanaume huyo maana yake alikuwa ni komando kutoka …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments