Tumaini alikaa nje ya kijumba cha Bi. Tabitha akiangalia watu waliokuwa wakienda katika pilka zao za kutafuta riziki asubuhi. Kando yake kulikuwa na vijana watano waliokuwa wakila gumzo wakisafisha nyavu zao.
"Nilifikiri bintiye Bi. Tabitha atatuauni na hujuma ya Bw. Mfarika," alimsikia mmoja wao akiwaambia wenzake.
"Msichana yupi unayezungumzia..."
"Yule pale, alianzisha madarasa ya kuwafunza wana wetu lakini Bw. Mfarika akamkatiza."
"Nasikia aliponea kukamatwa na vibaraka …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments