Reader Settings

HABARI NI ME TENA HANSI LOVE TUNAENDELEA NA SIMULIZI YETU YENYE MAUMIVU NDANI YAKE LENGK NIKUJIFUNZA 😔💔

REY ALIMCHEK HANSI 

Mambo

Poa vp rey

Safi mzima kipenzi

Me mzima sijui wewe

Nikopoa kabisa unajua nini hansi

Niambie kuna nini

Kunakitu nataka nikwambie

TUENDELEE😄

HANSI NA REY SASA

HANSI AKAJIBU

Niambie shida nini mamy.

Au basi mana dah.

Nini sasa we niambie.

Amna hansi unajua najihisi vibaya naona kama ntakuwa mrahisi kwako.

Ki vipi rey kama unahisi ninafaa kuambiwa niambie tu lakini kama sistahiki basi😔.

Amna hansi unajua😔 ah sio hivo yani,

Siuseme nini kinakusumbua.

Naona kama najizalilisha hansi unajua nimara yangu yakwanza.😔

Eh haya bana ukiwa tayari kuniambia niambie baadae🤔.

NAKUPENDA HANSI NAKUPENDA SANA YANI NASHINDWA KUZUIA HISIA ZANGU KWAKO😔❤️.

Dah😔.

Nini sasa hansi nilijua tu utanikataa ndomana sikutaka kusema dah 😔 najua labda unipendi lakini me nakupenda sana hansi yani.🥺❤️

Tatizo sio kunipenda tatizo maisha yangu kwa sasa hayapo sawa kabisa nafkiria tutaishije yani.

Amna hansi me sipo kama wanawake wengine me nakupenda kama tatizo ni hali ya kimaisha usijali sana nikawaida nitakuvumilia hansi naomba unikubalie nakupenda 🥺❤️.

Dah😔

Nini sasa hansi me nakupenda sana.❤️

Sawa bana Rey me mwenyewe nilikuwa nakupenda muda tu lakini ndo hivo tu kuna vijisababu tu lakini nakupenda sama rey🥰❤️

Kweli hansi 😁 

Kweli Rey nakuoenda

Wow 🥰 ahsante sana kipenzi changu lakini sipendi uvute bangi hansi naomba uachane na bangi kabisa niahidi😡

Ningumu sana rey yani sio rahisi kama unavyo fkiria 😔

Me sitaki kujua lakini staki uwe hivo uwe rafu kama hivo ulivyo achana na mabangi maskani sitaki hansi sawa babaangu tutagombana sana naomba ubadilike🥰😡

Dah🤔 haya sawa rey nimekuelewa😔

(Basi hapo ndo mapenzi yakaanza nando maumivu yalipo anzia 😔)

(NIKAANZA KUJILAZIMISHA KUACHA BANGI LAKINI MASKANI NILIKUWA BADO NAKAA NA WANANGU WA MPEPE MNAJUA KUACHA BANGI SIO RAHISI😔,)

ikiwa nipo mtaani siendi mazoezini  nipo tu home tunachati kila siku kila wakati🥰

Sikumoja maskani nipo na washkaji akapiga video call nikawa naongea nae wauni nao wakataka siunajua tena masela bwana kwa kufagilia warembo😁 basi tukaongea sana nikamaliza mwanagu akanitembezea bangi nikamwambia nimeacha ofsa wangu sasahivu sivuti bangi tena wauni (WE NINI MWENETU HANSI ACHA HIZI ACHUZI MAPENZI YASHAKUCHANGANYA MWENETU UNAFEL CHAFU YATU)

Acheni hizo wanangu me sinaimba wanangu aummesahau alafu mamoshi yana haribu koo wanangu

(AH BARAIDI SEMA JUCHENGE BANA MASKANI APA)

Ah sio kweli wauni .

Basi me nikaondoka nikarudi zangu home  nikaanza kupitia ngoma zangu mana me mwenyewe napenda kuimba natamani kuwa kama mbosso au jaymelody au marioo ndo wasanii nao wakubali basi nikawa naimba imba  ghafla text ikaingia kesho nnjoo nikuone lakini uwe umenyoa nywele zaki kipenzi menikajibu sawa hakuna shida😔  baadae nkaingia saloon pale nikaweka sawa nini kesho yake asubui nikaenda mtaani kwao chungurila

nilipo fika nikamcheki akaja akaniona akaniambia nimependa sana unaona ukuvyo pendeza me nikamwambia ahsant akaondoka zake me nikarudi kwa wananagu hapa maskani huku huku chungurila lakini nilikuwa nimeacha bangi ila chungurira hawajui ko ilikuwa ngumu sana kwangh kukataa kuvuta nikawa navuta lakini kwa siri sana  kumbe alikuwa ananiona akaniambia kwenye sms kumbe haujaacha kuvuta  nikamjibu sivuti bana akaniambia nimekuona  tukabishana bishana sana yani mwisho wa siku akaniambia hansi sitaki uje huku mtaani kwangu alafu mbaya zaidi wanangu waliniambie kesho tuanze mazoezi basi usiku nikamcheki nikamwambia natakiwa nije huko kwenye mazoezi akakataa mwisho wasiku akakubali  nika mwambia nataka usiku tukutane tuongee akaniambia sawa (SIWAJUA TENA MAPENZI LAZIMA MKAE KIDOGO NINI ROMANCE 😘 NDO ZENYEWE MNAELEWA🥰)

Basi kama kawaida yangu naenda hasubui kuda wote nataka nimuone tu mchumba nampenda sana yani nikiskia tu sauti yake moyo unafanya paa!! siopoa mnaelewa bana kupenda basi tukafanya mazoezi tulipo maliza nikakutana nae dukani pale nikamwambia vipi saa 2 twende uwanjani akaniambia ngoja inshallah😒 kwa zarau alafu akaondoka 😔 me nikaona sawa tu siwajua tena wanawake mida ilipo fika nikamchek vp akaniambia nipo busy sana sitoweza kuja  dah😔💔 menikaona zarau sema sawa tu hakuna shida me ndo nampenda japo kanitongoza nikamwambia sawa me anendoka hakujibu text 😔 ule usiku ulikuwa mbaya sana kwangu 😔 niliwaza sana lakini nikasema poa tu mapenzi nikukubaliana nakila kitu 

basi kila siku nikienda namchek hataki kukutana na me lakini tunachat sana tu yani mpaka sex chat ila kukutana nae faragha ndo hataki me nilikuwa naumia sana alafu maskani wanangu kila siku wakawa wananisema we nini kila siku chungurira mzee  mapenzi yamekuchanganya ofsa wetu umeanza kuwa tozi skiluizi bangi huvutu we jau 😔 ah me wakiniambia nacheka tu lakini naumia😁😔💔 basi nilikuwa nambembeleza sana nikichat nae

Kipenzi me nakupenda sasa ndo mapenzi gani haya rey mbona unanifanyia hivo unipi jafasi kosa langu nini mamy.🥺💔

Hamna sasa hivi nipo busy sana ndomana😘

Dah mbona nakuona tu mtaani unazurura unatoka umependeza alafu  jana umeletwa na pikipiki mshkaji akakukiss pale nimeona 🥺 lakini sawa me nakupenda na nipo tayari kwa lolote hatakama ntaona nini muhimu ujali hisia zangu tu rey usinifanyie huvo😭💔

Mhh

Mbona unaguna rey samahani lakini ila nimeumia sana mpenzi wangu 🥺

Pole lakini yule rafiki yangu tu

Dah🥺 rafiki yako mnakiss kweli lakini sawa hakuna shida me nimekubali tu ila nakupenda sana 🥺💔

Pole haitajirudia nakupenda pia usiku mwema❤️

Dah mbona umebadilika hivo rey shida nini saa 2 hi usiku mwema kweli💔

Basi hakujibu kabisa rey alikuwa kimya me sikulala nikiumia.

Kesho nikaenda kama kawaidia nikaenda lakini sikumuona mwanangu mmoja akaniambia oya rey jana kaenda kulala kwa mwanangu mmoja anasema anakatika sana mtoto kaka😁💔 me nikajichekesha huku naumia😁🥺😭💔 akaniambia vp na wewe kakaunatakiwa ufosi ule nakuona nae sema hamuendani 😔💔 Alafu akaondoka dah me furaha yangu iliishia hapo mazoezi pia sikufanya kabisa yani 😔💔 nikarudi home njiani nawaza naondoka home asubui bila yakula alafu kurudi usiku pia ndo nakula yani dah ilikuwa siku mbaya 😔 basi nikarudi home nikala lakini chakuka hakipiti yani lakini sawa basi akanicheki.

Mambo kipenzi changu hansi❤️

Poa mzima wewe mamaake🥰

Safi ninashida mwenzio yani kesho kuwmtwa bidei yangu alafu hata sielewi ninashida na elfu 35 ninunue keki mpenzi wangu🥺❤️

Dah me sina hela now alafu mama anaumwa lakini sawa ngoja nione ntafanyaje nikupe hela kipenzi 😔❤️

Ok sawa pole sana alafu utapatabwapi hiyo hela😁 babaake

we acha tu lakini ntajua pakuipata🥰 usijali sawa love rey😁 rey wakeeee❤️ wapi rey mideko🥰 

hahahah hansi bana unavituko sana.🥰 yanj wewe❤️

amna bana alafu keki tutakata wapi beach au ❤️

__________

Text haikujibiwa basi sikulala hapo hapo nikatoka chap nkavaa chap jogok wauni mnajua mapanga flani hivi yakimasai nikaenda maskani niamchukuwa mwanangu jadu na dukky tukaingia road kufosi 😎 kamata sana washamba piga sana bapa wagisi tukaiba sana mpaka saa 9 usiku tukawa wazangu ymtukapiga hesabu ya hela kila mtu alikuwa na 22k na simu kubwa 2 na vidogol vitano 5😎 wazungu tujagawana asubui nikamcheki rey

Mambo love🥰

______kimya

Kipenzi chake na hansi❤️

________

Mpenzi wangu mie❤️❤️❤️

_______

Mamy mzima kweli unajua hela yako tayari nikutumie au nikuletee😔

We nitumie tu mpenzi wangu usijali🥰

Dah😔💔 ok sawa hakuna shida ntakutumia mchana mpenzi wangu🥰

Ukituma utaniambia bye nipo busy ❤️

Ok sawa love nakupenda sana ❤️

________

Basi mchana tukawa tumeuza tujagawana hela  nikmtumie 45K lakini hakujibu kitu nikamtumia text

Mambo kipenzi nimekutumia hela hiyo utanunia na vitu vyengine alafu naokba tutoke kipenzi tukaenjoy nimepata hela hapa utaniambia tuende wapi mpenzi wangu❤️

Mmmh sijui kama ntaoata nafasi hiyo siku lakini jitaangalia tutatoka🥰 bebe

Dah kipenzi sawa lakini naomba muda wako sawa love❤️

________

Dah nikaona sokweli nikaenda mpaka mtaani kwake mchumba  nilipo fika nikamuita mwanangu ni dadaake nikamuliza vipi sele rey yupo akaniambia amekuja kufatwa na pikipiki ameenda kusuka barid basi akija utanicheki nipo maskani hapa poa. basi nikawa nipo maskani na washkaji   mida kidogo pikipiki ikaja nikamuona rey akashuka mara mshkaj meenye pikipiki akampa 20k rey ndo kampa mshkaji hela mshkaj kachukua alafu akamkiss akamwanbia hi ndo ya keki mpenzi rey hakuniona wakati huo akasema ntakuongezea mume bana baba ajanimalizia me moyo ukafanya paaaaah!!!😭 basi sikuskikiza tena maongezi ya watu nikageuka mara nikashikwa bega kipenzi chake rey  mambi rey poa kipenzi umekuja mbina hujaniambia😡 kwani me sio mpenzi wako😡 amna bana rey ni ghafla tu vp lakini unatoka wapi🥰 natoka saloni kipenzi changu 🥰 umependeze nikawa namshika mkono 🥰 niache bana hansi mbona hivo ngoja ninaharaka unjua mama kaniita ah nakuja nakujaaa. akawa ameindoka me nikanimepoa tu yani basi nikamchek basi baadae nikuona lakini sikujubiwa 😔💔nikarudi home tena furaha sina yani najuiliz sasa kmmwanamke anakwambia anakupenda alafu anakuwabhivi kweli lakini sawa hakuna shida mapenzi yapo kwenye kutoa nasio kupokea😔💔 nikapoa nikarudi home nikaanza kuandika nyimbo nikawa nimemkumbuka ex wangu alinipenda sana nilizingua nikaandika ngoma inaitwa nisamehe😔 nikamtumia rey voice mana nili rekid kwenye simu wasp akanijibu aaah umemkumbuka ex wako😁 nikamwambia amna bana siwajua me msanii namziki ni hisia tu kipenzi🥰 hakujibu kesho asubui nikaingia maskani lakini sikukaa sana nilikuwa na mawazo sana🤔😔 vp rey atanipenda nifanye nini 😔 nikawa nipo ndani nikamwambia dada mtu akija amwambie sipo mana bataka kulala😔

Basi usiku usiku nikamchek mpenzi wangu

Mambo rey vp kesho bidei yako twafanyaje nimekuomba tutoke🥰

Kesho ntakuchek now sipo sawa kipenzi changu😔

Shida nini tena mamy niambie kwanini haupo sawa love niambie

______

Mpenzi wangu nakupenda niambie shida nini 

__________

Mbona hivo lakini rey😔

____________

Basi hakuna majibu yani nimaumivu sana🥺 yani dah nikalala asubui kama kawaida yangu nikaenda nilipo fika saa 3 asubui nilipofika nika mchek hakujib nikawa namuona anapita anenda anarudi yupo busy mara akaja akaniambia hansi nenda home kajiandae twende beach  nikamuuliza hana ulikuwa na nini akaniambia utaniukiza au utaenda ah me nkaondoka mbio mbio yani nikawa nina futaha yani basi nikavaa freshi tu nikamchek akaniambia niende tena mtaani kwake nikamwambia we siuje twende huko simbali sana nnjoo huku twende akaniambia we nnjoo huku unifate me nampenda ntafanyaje nikaenda nikawa nakimbia sana nilipo fika tukachukuwa pikipiki tukaenda mpaka raskazone lakini tulipanga twende jeti kule watanga mnapajua basi tuashuka raskazone akaniambia nisubiri hapa nikamsubiri 😁 basi nikawa nimekaa kuanzia saa 8 mpaka saa 11 nimetuma sms kibao hakuna majibu piga haipatikani nikaona mmhu sio kweli ngoja niende huko huko jeti 🥺 mbio mbio yani  

DAAAAAAAAAAAAH😭😭😭😭😭😭 ILE KUFIKA NILICHO KIONA DAAAAH 😭😭😭😭😭😭 

TUISHIE HAPA KWA LEO NATAKA NIANGALIE YANGA DAY BANA NIWATAKIE SIKU NJEMA NTAENDELEA TENA 😔💔

lakini mapenzi yanauma sana naomba sana munisapot ndugu zangu  nawapenda nyote ❤️

❤️ NILIMKOSEA MPAKA MUNGU WANGU ANISAMEHE SANA LAKINI MTAKUHA KUONA MBELENI 😭💔

HANSI LOVE WSP NO 0680043066

Kwa Urafiki😁 TU🥰

Previoua