SONGA NAYO................
"It's him, it's him" Ni mwanamke mmoja alikurupuka kutoka kwenye ndoto ya kweli ambayo haikuwa njema kwake akiwa anasisitiza kwamba ni yeye, ni yeye. Aliyekuwa anaota ndoto hiyo alikuwa ni yule mwanamke ambaye ndiye pekee alifanikiwa kuishi na kuachwa hai kule msituni. Ni masaa mengi yalikuwa yamepita lakini tukio lile halikufutika kwenye kichwa chake ndiyo maana hata alipo shtuka wakati huo alitoka …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments