SONGA NAYO................
Baada ya kufungua ndani ya begi hilo alikutana na mabunda mengi ya pesa yakiwa yamepangana lakini juu yake kulikuwa na bahasha moja ngumu ambayo ndiyo aliiona kuwa ya mhimu kwa wakati huo. Aliifungua hiyo bahasha ndipo ndani yake akakutana na karatasi nyeupe iliyokuwa imeandikwa kwa maandishi makubwa "Hizi pesa ni zawadi kwa mama, umefanya jambo kubwa kutosema kile ambacho ulikiona kule. Kuna …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments