SEHEMU YA TISA
SONGA NAYO................
Majibu mengine ya kukatisha tamaa yalirudi mezani, huyo mtu haikujulikana ni wa wapi, aliishi wapi na alikuwa akifanya nini kwa sababu kitu pekee ambacho walikipata ni jina lake tu. Jina lake alikuwa anaitwa OTHMAN CHUNGA. Zaidi ya hapo hakukuwa na kitu chochote kuhusu historia yake wala sehemu ambazo aliwahi kuishi ama kuwepo, mtihani mwingine ukazaliwa mbele yao, kesi mwanzoni …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments