Reader Settings

Watu waliokuwa mezani wote walijikuta wakimwangalia Regina kwa mshangao , ni Hamza pekee ambae alikuwa amesikia.

Mtu upande wa pili alikuwa akimwelezea Regina kwamba nyumba yao Msasani inaungua na moto.

“Madam tayari tushawasiliana na watu wa zima moto kuja , lakini itakuwa ngumu kufika ndani ya muda , tushaanza kuchukua hatua za mwanzo kuuzima”

Regina palepale alikata simu na mara moja alimwangalia Hamza …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next