Mara baada ya Gerson kusikia ombi hilo, mionekano wake uliganda mara moja. Hata kwa wale walinzi wa Regina kutoka Binamu, na wao wenyewe walikuwa katika hali ya mshangao mkubwa.
Hamza aliishia kusinzisha macho yake tu, huku kwa siri akiinamisha kichwa chake na kutabasamu. Akajiambia moyoni: Hakika mke wangu hamu yake ya kula ni kubwa kweli. Hawezi kuacha, hata kama anachokusudia kitaleta mshituko.
“Regina, unatania?” aliuliza …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments