Reader Settings

HAZWA GEREZANI

“Hizi nyembe unatakiwa ujue namna ya kuzitumia kwa asilimia miamoja zitakusaidia sana” Maelezo hayo yalifuatiwa na mzee huyo kutoka kwa spidi sana kuelekea sehemu ambayo alikuwepo Zakaria kumshambulia alijua ni masiara alishtuka anapata maumivu makali sana baada ya nyembe kuzama kwenye mwili wake. Alijua hicho kitu kilikuwa ni siriasi sana alitakiwa kujihami, yalitumika masaa mawili kuweza kumkabidhi rasmi silaha hizo ambazo alitakiwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next