“kumpeleka mkeo pamoja na mwanao kwenye mikono ya wale watu walicheza ni moja ya kamali kana kwamba kama ikitokea ukapona huko ulikokuwa BENGHAZI basi lazima baada ya kujua iliko familia yako ungeenda moja kwa moja kwa ajili ya kuisaidia na kuweza kulipa kwa mtu ambaye alikuwa na hiyo familia yako hivyo kwa karata zao hizo mbili zilikuwa kama ifuatavyo
. Kwanza walijua kama …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments