Reader Settings

Wale wanajeshi walionekana kama waasi na walikuwa hapo kwa ajili ya kuwinda wanawake.

“Hey mrembo, hebu acha kuwa muoga. Tunataka tu kuongea na wewe. Sisi si watu wabaya,” aliongea mmoja wa wanajeshi aliyekuwa na kovu kubwa usoni.

“Nimewaambia niacheni. Nataka kurudi nyumbani,” msichana yule alionekana analia. Alikuwa amebarikiwa macho makubwa ambayo kwa muda huo yalikuwa yamefunikwa na machozi.

Lakini sasa, kutokana na msichana huyo kuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next