Reader Settings

“Babu yako ni mtu ambaye alikuwa akimiliki visima vingi sana vya mafuta ndani ya nchi hii, baada ya familia nzima kuuawa wale watu walihitaji kukichukua kila kilicho cha yule mzee lakini kama bahati niliweza kuondoka na kila kitu bila mtu yeyote yule kujua na nilifanya vile kwa sababu mimi ndiye nilipewa jukumu la kuweza kukuangalia wewe hapo sikuwa na namna nyingine kuona mali …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next