Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

"Haha hah haha hahahahahahahahahahahahah unaogopa sana eh hahahahahahaha nilikwambia mapema hakuna kitu ambacho unakijua unaingilia vitu ambavyo havikuhusu ona sasa unaenda kujiingiza kwenye matatizo wewe na familia yako, katika makosa ambayo sijui utayafichaje ila halitakiwi kujulikana ni kwamba wewe una familia kama ikitokea kile kiumbe kikijua hilo huwa kina tatizo moja tu huwa haachi mtu kwenye ukoo mzima na mke wako bado ni …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next