Reader Settings

Regina?”

Mara baada ya kusikia jina hilo, fikra za Hamza zilikuwa katika hali ya mpagao. Hakika mwanamke aliyekuwa mbele yake alikuwa na nyusi na macho kama nyota inayong’aa. Ngozi yake ilikuwa nyororo na rangi iliyokuwa kama ya mke wake kweli.

“Mke wangu? Kuwa hapa?” Hamza aliuliza kwa sauti ya chini, lakini yenye hali ya kuchanganyikiwa.

Msichana yule, mikono yake miteke, iliishika mashavu ya Hamza kwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next