Reader Settings

Hamza aliishia kufinya macho yake kama mtu ambaye anajaribu kuchanganua mambo, kisha akaongea:
“Hicho kizuizi cha sheria ni kweli kinawafunga waajiri. Lakini kama mwajiri mwenyewe haogopi wauaji wote duniani, basi atakuwa na uthubutu wa kutuma mtu kufanya misheni feki.”
Mara baada ya watu hao kusikia hivyo, walijikuta wakivuta picha juu ya watu walioshambulia makao makuu ya Bafodili na kisha kunywa damu. Kufikiria tu hivyo, miili yao iliingiwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next