Namtaka huyo mwanamke
Hamza mara baada ya kutoka nje ya ofisi alikutana na Yonesi ambae ofisi yake ilibadilishwa na kuwa katika floor moja na mkurugenzi.
Yonesi pia alikuwa akijua kile kilichokuwa kikiendelea na alishikwa na ahueni mara baada ya kusikia Regina ameongezewa muda wa siku moja kwa ajili ya kujiandaa kabla ya watu hao wa kodi kurudi tena na kufanya uchunguzi uliowaleta.
“Wewe …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments