Reader Settings

“Kill him! Lovran, what are you hesitating for?” aliongea Nicholas, akimtaka Lovran kumuua Hamza na kuuliza kwanini anasita.

Muda huo, Nicholas ndiye aliyekuwa ameamka peke yake, na mara baada ya kuona bado Lovran amebung’aa, palepale yeye alifanya shambulizi.

Palepale, na upanga wake wa kimajisi, alifyatuka na kumlenga Hamza kwenye shingo yake.

“Go to hell, Lucifer!”

Lakini muda ule, Nicholas alipotaka tu kumkaribia Hamza, ghafla kulikuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next