Dokta Ganesha na Elementi za Nuru
(Nactivagus Umbraeus)
Hamza alimwelekeza Regina kuhusu maana ya lugha hio mpaka pale alipoona ameelewa na kuhusu namna ya kutafisiri na kujifunza nguvu ya maandiko hayo alimwambia atamwelekeza wakifika nyumbani.
Kesho yake Hamza alianza kumwelekeza Regina taratibu taratibu mpaka ilipofikia mahali Regina alijikuta akishangaa kwani alikuwa akiona maana iliokuwa katika maneno hayo.
Hamza mara baada ya kuona mafanikio …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments