Reader Settings

“Bwana Chifunda! Unapaswa kujizuia kutoongea kwa dharau. Unaweza kutudharau sisi, lakini unawezaje kumdharau kiongozi wetu wa ukoo? Au unadhani ni kwa sababu tunakuogopa?” aliongea Mzee Mahiku.

“Heshima haiombwi, bali inapiganiwa kwa nguvu zenu zote. Miaka mia iliyopita, mara baada ya baba yangu kutoridhika kwa kuona Simba ndiye mwenye madaraka makubwa kwenye umoja wa uungu wa kale, aliamua kushindana naye mpaka alipopoteza uhai. Lakini kama ukoo, …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next