Reader Settings

Upande mwingine asubuhi hio alionekana Kanali Dastani akiingia ndani ya ofisi yake kama kawaida na kitendo cha kuvua koti lake na kulining’iniza , mlango wa ofisi yake ulifunguliwa na akaingia Amosi.

“Ulikuwa hapa kitengoni?”Aliuliza Kanali kwa namna ya kushangaa kidogo.

“Ndio , Mkurugenzi alinniita kwa ajili ya maswala ya kazi”

“Kazi gani?”Aliuliza.

“Kuna kazi gani tena , aliniulizia maendeleo ya uchunguzi yanavyoenda”Aliongea na kumfanya Kanali …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next