Reader Settings

Afande Fabi alikuwa na tabasamu pana usoni huku akiwa amemuangalia Regina. Hakuonekana kushangaa uwepo wa Edina katika eneo hilo, kana kwamba alikuwa amemuona muda mrefu.

“Ndio, Regina, ni siku nyingi sana hatujaonana,” aliongea.

“Ni wewe kweli au nakufananisha! Hawa ni wanajeshi wako?” aliuliza Regina, na kauli yake ilimfanya Afande Fabi kucheka.

“Hapana, mimi ni kapteni, huwezi kusema hawa ni wanajeshi wangu.”

Furaha ya Hamza ilianza …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next