The Earth Axis.
“Ndege mzuri huchagua mti mzuri kutengeneza kiota”
Ilikuwa ni siku ya kwanza tokea rais huyo kustaafu, kutokana na kwamba siku hiyo ndiyo ilikuwa ya uapisho wa Rais mpya, Mheshimiwa Abubakari Kassim Kunambi. Kanali alikuwa katika makazi hayo akiitikia wito wa Mheshimiwa huyo. Tokea mara ya mwisho kuonana naye Ikulu, akielekea nchini Malaysia, hakuonana naye kabisa.
Mara baada ya kufika getini na kufuata …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments