Mwanamfalme wa Omani.
“Ukiona humuwezi ungana nae”
Hamza, mara baada ya kufika nchi kavu, alitamani kucheka kwa jinsi wanajeshi walivyokuwa wakimwangalia; ilikuwa kama vile alikuwa mgeni wa heshima. Hata hivyo, hakujali sana. Palepale, alimsogelea Yulia na kumkabidhi kile kiboksi.
“Yulia, kifaa chako hiki,” aliongea.
Yulia, mara baada ya kukipokea kiboksi hicho, alibonyeza vitufe vya nywila kwenye kiboksi hicho, na palepale kwenye kijiskrini chake kiliwaka.
“Ni …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments