Fundo la kifo.
“Shangazi kuuelewa moyo wa mtu ni ngumu kuliko kuvuna nishati za mbingu na ardhi,"
*****
Regina alikasirika baada ya kuona ni kama Hamza alikuwa ameenda mbali sana. Aliona hata kama alikuwa akimtafuta, hakupaswa kutumia nguvu kutaka kuingia ndani ya mgahawa huo.
Hamza, mara baada ya kumuona mwanamke huyo alivyokuwa amesimama kando ya Fabiani, alijikuta akishikwa na hasira moyoni.
“Umetoka out na mwanaume …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments