Reader Settings

Kwenye macho ya Regina kulikuwa na hali ya kukatishwa sana tamaa . Mwanamke huyo alitoa simu yake na kisha aliingia upande wa Watsapp na kugusa faili la rekodi ya sauti.

Hamza ambae alikuwa na hali ya hatia kwa sekunde chache zilizopita alijikuta akinywea ghafla kama amegandishwa kwenye friji mara baada ya kusikia sauti hio ilikuwa ikiuhusu nini.

Voice record:

Hebert: “Bro Hamza kama sikosei utakuwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next