Ijapokuwa Tresha alikuwa vizuri kwenye mapigano, alikuwa mdogo sana mbele ya Kanali Dastani ambaye alikuwa na mafunzo ya nishati za mbingu na ardhi ya kuamsha pepo kwa kutumia mbinu ya Uwili kutoka umoja wa siri wa Black Trinity. Hivyo, kitendo cha kutaka kumkimbia alishindwa na kuishia kukandamizwa chini ya kitanda.
"Dastani, una nini wewe?" Aliongea Tresha akilalamika, akiwa hafurukuti kwa namna ambavyo Dastani alikuwa amemkaba.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments