Kijana mdogo hasira kubwa
Mara baada ya Yonesi kusikia kauli hiyo, mwili wake ulitetemeka kwa sekunde kadhaa. Haraka aligeuza kichwa chake pembeni na kuziba uso wake kwa mikono miwili. Moyo ulikuwa ukienda mbio mno.
“Haha, Yonesi jana uliniuliza swali kwa ujasiri mno, kwanini sasa unakuwa na aibu hivyo?”
Yonesi alijikuta akivuta pumzi mara mbili. Hakuwa tayari kushindwa tena. Aligeuka na kumtazama Hamza akiwa na ujasiri.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments