Mara baada ya kuona wale walinzi wanataka kumshambulia ,Yonesi haraka sana aliingilia.
“Baba, usifanye hivyo”
“Kaa kimya na nenda kwenye chumba chako , huruhusiwi kutoka”Alifoka
Yonesi alikuwa na wasiwasi mno , hakuwa na wasiwasi juu ya Hamza bali alikuwa akiwaonea huruma hao walinzi waliotaka kumshika Hamza.
Wale walinzi hata hawakuelewa na palepale walimshika Hamza mkono wakitaka kumuweka chini ya ulinzi.
Lakini sasa kadri walivyokuwa wakijaribu …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments