Reader Settings

Mkuu wa Majeshi

Hamza mara baada ya kuinama na kumchunguza mgonjwa hali yake , palepale aligeuka na kumwangalia baba yake Yonesi.

“Alikuwa akisumbuliwa na nini?”

“Hebu pisha njia, halikuhusu hili swala”Aliongea Afande Daudi kwa hasira.

“Sitafuti ugomvi hapa , nakuuliza kwasababu mimi ni daktari , niambie kama anashida ya mzunguko wa damu kati ya moyo na mapafu?”

Mara baada ya kusikia hivyo mzee huyo alijikuta …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next