Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

Simba wa nyika.

“……sifa zangu ni matokeo ya kuutafuta uhuru na kuendelea kuishi kwa kushinda vikwazo”

v

Mara baada ya mkurugenzi wa kitengo cha TIMISA kunona sehemu alioweka kidole mkuu wa majeshi. palepale alijua alikuwa akilenga nini .

“Afande unamaanisha kilichotokea Kilwa baada ya Wabrazili kufungua kanisa lao ndani ya hili eneo?”Aliuliza kwa kutokuwa na uhakika na mkuu wa Majeshi alitingisha kichwa kukubaliana nae.

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next