Hamza mara baada ya kutoka hotelini hapo , alichukua uelekeo wa Louvre. Alikumbuka Princess Aira aliongea kuhusu sherehe za kukata utepe na kuna uhakika ilikuwa ni katika eneo la Louvre kama ratiba zake hazitakuwa zimebadilishwa.
Hamza mara baada ya kufika katika eneo hilo maalumu la makumbusho ni kama hisia zake zilivyomwambia kwani aliona walinzi wengi wakiwa wanaimarisha ulinzi. Watu wa kawaida hawakurhusiwa kabisa kuingia.
Hamza …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments