Reader Settings

“Siwajui bosi , wamesema tu wanataka kuonana na wewe”Aliongea Linda na Regina alimwambia anakuja hapo muda si mrefu.

Baada ya kukata simu alimwambia Hamza aendeshe haraka kuelekea makao makuu ya kampuni kuna tatizo.

Hamza hakutaka hata kuambiwa maana alishayasikiliza maongezi yao yote na alishindwa kuacha kujiuliza ni nani huyo ambae anajaribu kufanya vurugu katika mali za kampuni tena mchana kweupe.

Kwasababu hawakuwa mbali sana na …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next