Reader Settings

Hii mbinu tunaita nguzo ya moto, ndio msingi wa jamii yetu , ila naona sio haba kwako pia , unao uwezo wa kutembea juu ya moto”Aliongea.

Hamza huku akikunja sura , ijapokuwa aneo lote lilikuwa limezingirwa na moto lakini moto huo haukuwa wa kawaida lakini licha ya hivyo moto huo haukuwa tishio kwake.

“Nyakasura nadhani tuishie hapa . maana naona nashindwa kukusogelea kukushambulia, na mbinu …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next