Wafuasi wa Nyoka mara baada ya kusikia kufa kwa Mzee Farook kumesababishwa na Nyakasura walijikuta wakiwa katika hali ya kumshangaa. Walikuwa wakiokoa maisha yao muda ule na hawakuweza kuona tukio hilo.
“Alikataa kusikiliza nilichomwambia na kukimbia akijifanya anataka kuokoa maisha yake ilihali yalikuwa mkononi mwangu. Mtu kalegea legea mnafanya kiongozi, nimemuuwa mimi”Aliongea Nyakasura kwa kejeli akionyesha hajutii kabisa alichokifanya.
Afande Simba aliishia kuvuta pumzi na …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments